ChicharitoJRpresenter
Member
- Dec 4, 2018
- 11
- 10
. Hakika Mropokaj kama huyu hajawai tokea dunian. Ajengewe sanam kubwe lenye mdomo mpanaa likiwa juu ya zile khamsa khamsa za As Vita, Al ahali na Servilla FcWadau mnaonaje Haji Manara akajengewa sanamu kutokana na mchango wake mkubwa aliotoa kwenye Taifa kuwa msemaji Bora Duniani Hadi FIFA wameandika hajawai tokea msemaji Kama huyu tangu dunia ianzishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka hiyo barua ya FIFA tuione.Wadau mnaonaje Haji Manara akajengewa sanamu kutokana na mchango wake mkubwa aliotoa kwenye Taifa kuwa msemaji Bora Duniani Hadi FIFA wameandika hajawai tokea msemaji Kama huyu tangu dunia ianzishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
FIFA wameandika wapi?Wadau mnaonaje Haji Manara akajengewa sanamu kutokana na mchango wake mkubwa aliotoa kwenye Taifa kuwa msemaji Bora Duniani Hadi FIFA wameandika hajawai tokea msemaji Kama huyu tangu dunia ianzishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Reference pleaseWadau mnaonaje Haji Manara akajengewa sanamu kutokana na mchango wake mkubwa aliotoa kwenye Taifa kuwa msemaji Bora Duniani Hadi FIFA wameandika hajawai tokea msemaji Kama huyu tangu dunia ianzishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwaita jamaa mbumbumbu?[emoji1][emoji1]Rage alifikiria mbali sana....
Nakubaliana nawe hajawahi kutokea msemaji Kama huyu duniani ambaye ni mropokaji nambari wani na anayekazana kusambaza uzushi dhidi ya wapinzani wakati wa ligi na mamlaka za mpira bila kuchukuliwa hatua dhidi yake..Wadau mnaonaje Haji Manara akajengewa sanamu kutokana na mchango wake mkubwa aliotoa kwenye Taifa kuwa msemaji Bora Duniani Hadi FIFA wameandika hajawai tokea msemaji Kama huyu tangu dunia ianzishwe
Sent using Jamii Forums mobile app