Manara ajengewe sanamu

ingawa watu wanajifanya hawauoni mchango wa bwana haji ila ukweli wanaujua.huyu bwana analeta amsha amsha na ladha na maana halisi ya utani katika soka letu.kwangu mtazamo wangu huyu na muro ni wasemaji bora kabisa kuwahi kutokea
 
ingawa watu wanajifanya hawauoni mchango wa bwana haji ila ukweli wanaujua.huyu bwana analeta amsha amsha na ladha na maana halisi ya utani katika soka letu.kwangu mtazamo wangu huyu na muro ni wasemaji bora kabisa kuwahi kutokea
Anapenda kutania/kudhalilisha wengine akifanyiwa yeye atalia mwaka mzima!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ingawa watu wanajifanya hawauoni mchango wa bwana haji ila ukweli wanaujua.huyu bwana analeta amsha amsha na ladha na maana halisi ya utani katika soka letu.kwangu mtazamo wangu huyu na muro ni wasemaji bora kabisa kuwahi kutokea
Anajua utani wa kukimbilia tff na kushitaki kwa Rais wa nchi, Waziri mkuu na Waziri wa TAMISEMI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…