Manara: Asichokijua Mwabukusi ni kuwa mpira ni ajenda kubwa sana nchi hii kuliko hata siasa

Manara: Asichokijua Mwabukusi ni kuwa mpira ni ajenda kubwa sana nchi hii kuliko hata siasa

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Akihojiwa na mtandao mmoja wa kijamii Haji Manara amesema alimsikia mwanasheria mmoja akilalamika kwamba watanzania ukiwaambia waandamane kupigania haki zao huwapati ila ukiwaambia washabikie Simba na Yanga hapo utawapata.

Kwa maoni yake bwana Manara ni kwamba kwa Tanzania mpira ni kila kitu na hilo ni jambo la kujivunia!!
 
Akihojiwa na mtandao mmoja wa kijamii Haji Manara amesema alimsikia mwanasheria mmoja akilalamika kwamba watanzania ukiwaambia waandamane kupigania haki zao huwapati ila ukiwaambia washabikie simba na yanga hapo utawapata.

Kwa maoni yake bwana Manara ni kwamba kwa Tanzania mpira ni kila kitu na hilo ni jambo la kujivunia!!
Wasitulazimishe wote tuwe wanasiasa. Wanasiasa wenyewe wa nchi hii wote waongo na njaa tu.

Tangu nivunjwe mkono kumpigania Msigwa awe mbunge Iringa Mjini na jamaa akahamia ccm siyaamini trna haya manyangau.

Wangekuwa serious nasi tungekuwa serious nao ila wao ni kwa ajili ya matumbo yao tu. Wacha tushangilie Kayoko FC wanaotutesa japo tunawapenda.
 
Wasitulazimishe wote tuwe wanasiasa. Wanasiasa wenyewe wa nchi hii wote waongo na njaa tu.

Tangu nivunjwe mkono kumpigania Msigwa awe mbunge Iringa Mjini na jamaa akahamia ccm siyaamini trna haya manyangau.

Wangekuwa serious nasi tungekuwa serious nao ila wao ni kwa ajili ya matumbo yao tu. Wacha tushangilie Kayoko FC wanaotutesa japo tunawapenda.
Kwa hiyo wewe sio mwanasiasa?
 
Akihojiwa na mtandao mmoja wa kijamii Haji Manara amesema alimsikia mwanasheria mmoja akilalamika kwamba watanzania ukiwaambia waandamane kupigania haki zao huwapati ila ukiwaambia washabikie simba na yanga hapo utawapata.

Kwa maoni yake bwana Manara ni kwamba kwa Tanzania mpira ni kila kitu na hilo ni jambo la kujivunia!!
Watanzania hata wakinyanganywa haki zao hawajui kama wameporwa haki zao so wanakushangaa ukiwambia wakadai hizo haki...
Sasa sijui ni elimu, ujinga au uoga
 
Akihojiwa na mtandao mmoja wa kijamii Haji Manara amesema alimsikia mwanasheria mmoja akilalamika kwamba watanzania ukiwaambia waandamane kupigania haki zao huwapati ila ukiwaambia washabikie simba na yanga hapo utawapata.

Kwa maoni yake bwana Manara ni kwamba kwa Tanzania mpira ni kila kitu na hilo ni jambo la kujivunia!!

Siasa zinaamua hata mpira utakuwepo, utachezwa, viwanja vitajengwa nk. Mwanasiasa dikteta anaweza kupita marufku mpira.

Asiingie kwenye siasa bado ni mweupe sana huko.
 
Akihojiwa na mtandao mmoja wa kijamii Haji Manara amesema alimsikia mwanasheria mmoja akilalamika kwamba watanzania ukiwaambia waandamane kupigania haki zao huwapati ila ukiwaambia washabikie Simba na Yanga hapo utawapata.

Kwa maoni yake bwana Manara ni kwamba kwa Tanzania mpira ni kila kitu na hilo ni jambo la kujivunia!!
Kuna baadhi ya viongozi hapa nchini wanajisahau kutaka kufanya kila kitu kiwe siasa lakini watambue kila mtanzania anamaisha ya kuchagua kipi akishabikie. na yeye si wa kwanza hata Godbless Lema aliwahi kutoa kauli kutaka Yanga na Simba zife ni upuuzi mtupu tu. Watengeneze hoja zao na sio kutaka mpira wa miguu wa Simba na Yanga zisiwepo
 
Kuna baadhi ya viongozi hapa nchini wanajisahau kutaka kufanya kila kitu kiwe siasa lakini watambue kila mtanzania anamaisha ya kuchagua kipi akishabikie. na yeye si wa kwanza hata Godbless Lema aliwahi kutoa kauli kutaka Yanga na Simba zife ni upuuzi mtupu tu. Watengeneze hoja zao na sio kutaka mpira wa miguu wa Simba na Yanga zisiwepo
Elimu yetu ndipo ilipotufikisha
 
Kwa Afrika Mashariki, Kenya ndo nchi yenye watu wanaojitambua. Pale kwa majirani zetu utafikiri raia wake wote ni residents wa Mirembe.
 
Wasitulazimishe wote tuwe wanasiasa. Wanasiasa wenyewe wa nchi hii wote waongo na njaa tu.

Tangu nivunjwe mkono kumpigania Msigwa awe mbunge Iringa Mjini na jamaa akahamia ccm siyaamini trna haya manyangau.

Wangekuwa serious nasi tungekuwa serious nao ila wao ni kwa ajili ya matumbo yao tu. Wacha tushangilie Kayoko FC wanaotutesa japo tunawapenda.
Pole sana mkuu, ulikuwa unampigania msigwa awe mbunge au CHADEMA?
 
Sema ni ujinga tu, ingekuwa Tanzania mpira ni kitu kikubwa, tusingebondwa na wakongo nje ndani, kwenye mpira kwenye mabango ya mama ameupiga mwingi yanakuwepo, basi kwenye mpira lingekuwa jambo kubwa mambo yangeenda
 
Kinachoendelea kenya ni vichekesho, taifa la hovyo kabisa
Ni Katiba.Mihimili inatambua Katiba na kuiheshimu.

Nyie Bunge lenu lina jeuri ya kumtoa PM na bado akaenda kulalamika Mahakamani, Kisha Mahakama ya Tz ikatamka Serikali (akiwemo Presdaaa) ameyatimba? Mahakama zenu zina hiyo jeuri?
 
Ni Katiba.Mihimili inatambua Katiba na kuiheshimu.

Nyie Bunge lenu lina jeuri ya kumtoa PM na bado akaenda kulalamika Mahakamani, Kisha Mahakama ya Tz ikatamka Serikali (akiwemo Presdaaa) ameyatimba? Mahakama zenu zina hiyo jeuri?
Nchi yetu haiendeshwi kwa jeuri na nongwa
 
Akihojiwa na mtandao mmoja wa kijamii Haji Manara amesema alimsikia mwanasheria mmoja akilalamika kwamba watanzania ukiwaambia waandamane kupigania haki zao huwapati ila ukiwaambia washabikie Simba na Yanga hapo utawapata.

Kwa maoni yake bwana Manara ni kwamba kwa Tanzania mpira ni kila kitu na hilo ni jambo la kujivunia!!
Kenge Manara!
 
Back
Top Bottom