Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fred Vunjabei ndiyo disgner wenu?Uzi kama Hizi ndio zinaleta tension kwa wabunifu wetu wa Simba SC ili waandae jezi mbaya. Naona Yanga mnatumia njama za kizamani sana kutufanya tuje na jezi mbaya.
Ndio.Fred Vunjabei ndiyo disgner wenu?
Vunja bei ameahidi hadi jezi za buku buku kwa ajili ya mikia. Zitapatkana hadi ofisin kwa mwamed.Fuledi Vunjabei a.k.a vunjachungu ameleta kitu kikali Sana, jezi Ina Hadi matonge ya pilau
Zeruzeru tunamsamehe bure.
Huyu vunja bei anaenda kuwavunja mbavu mikia a.k.a kwasukwasu[emoji12]