Kwani kuna utofauti kati ya afisa habari na msemaji??
hahhahahaaaAfisa habari anakuwa na professional ya kile anachokifanya ila msemaji ni mtu yeyote ambaye anaweza kuongea mfano: Man fongo, Msaga Sumu na wengine.
Afisa habari anafanya kazi kuzingatia taaluma na weledi. Msemaji huyu ni kubwabwaja tu.
Kwahiyo Manara ni professional?!Afisa habari anakuwa na professional ya kile anachokifanya ila msemaji ni mtu yeyote ambaye anaweza kuongea mfano: Man fongo, Msaga Sumu na wengine.
Afisa habari anafanya kazi kuzingatia taaluma na weledi. Msemaji huyu ni kubwabwaja tu.
Man Fongo.Afisa habari anakuwa na professional ya kile anachokifanya ila msemaji ni mtu yeyote ambaye anaweza kuongea mfano: Man fongo, Msaga Sumu na wengine.
Afisa habari anafanya kazi kuzingatia taaluma na weledi. Msemaji huyu ni kubwabwaja tu.
Ni msemaji rasmi siyo afisa habari.Kwahiyo Manara ni professional?!
Ni kwikwi huyo mpayukaji wa Mikia FC.Ni msemaji rasmi siyo afisa habari.
Ni kwikwi huyo mpayukaji wa Mikia FC.
Au bi Hindu. Bahati nzuri, vyeti sio muhimu kwa 5imbaAfisa habari anakuwa na professional ya kile anachokifanya ila msemaji ni mtu yeyote ambaye anaweza kuongea mfano: Man fongo, Msaga Sumu na wengine.
Afisa habari anafanya kazi kuzingatia taaluma na weledi. Msemaji huyu ni kubwabwaja tu.
Au bi Hindu. Bahati nzuri, vyeti sio muhimu kwa 5imba
Afisa habari anakuwa na professional ya kile anachokifanya ila msemaji ni mtu yeyote ambaye anaweza kuongea mfano: Man fongo, Msaga Sumu na wengine.
Afisa habari anafanya kazi kuzingatia taaluma na weledi. Msemaji huyu ni kubwabwaja tu.
Hapo sawa.
Kwahiyo msemaji ni mtu asiye na taaluma yeyote, kazi yake ni kuongeangea utumbo tu.
Mfano
"Mikia hii hata Man City au Barca wakija tutawafunga tu",
"Kikosi chetu ni cha bilioni 3".
"Mbumbumvu hii tusipofika robo fainali ya Club bingwa Africa Mnitupe mtoni niliwe na Mamba"
Kwani kuna utofauti kati ya afisa habari na msemaji??
Au Mbwiga mbweguke anaweza naye kuwa msemaji WA timuAfisa habari anakuwa na professional ya kile anachokifanya ila msemaji ni mtu yeyote ambaye anaweza kuongea mfano: Man fongo, Msaga Sumu na wengine.
Afisa habari anafanya kazi kuzingatia taaluma na weledi. Msemaji huyu ni kubwabwaja tu.
Yule usemaji anaweza sana.Au Mbwiga mbweguke anaweza naye kuwa msemaji WA timu