Manara awatolea povu mashabiki wa mpira kuhusu picha ya Mayele na Uwoya

Manara awatolea povu mashabiki wa mpira kuhusu picha ya Mayele na Uwoya

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
Hivi kwa mfano ndio ingekuwa kweli shida ni nini?

Hivi Wabongo nani katuroga? Kutwa kuhangaika na maisha ya Watu!!

Mlitegemea Mayele afanye tangazo na Anna kwapa Nene au Shani Nyamichupi?

Mnajisikiaje baada ya kupata ukweli? Kuku nyie !!

@mayelefiston @ireneuwoya8

@gsmmall @maxfashion_tz @gsmtanzania.

mayelefiston-20221208-0001.jpg
 
Nilivyo elewa hoi picha hapo juu ambayo mayele amepiga na huyo mrembo na watoto! Ni Tangazo tu na sio kama watu wengi walivyofikiri
 
Sijaelewa kitu hapo
Ipo hivi mara ya kwanza zilisambaa picha za mayele akiwa na uwoya wakiwa ktk gari na mapozinyanayoonesha dalili kuwa wapo in relation,ndio washabiki wengi wa yanga na wengineo wakaanza kumponda mayele kupitia mitandao ya kijamii .
Tena wakihusisha kutokufunga kwake magoli katika mechi kadhaa na haya mahusiano mapya ya kimapenzi na bibi huyo mwenye çonnection yake mjini😂😂😂..
Sasa manara amekuja kuwachamba mashabiki hao kuwa zile picha zilikuwa ni matangazo ya gsm na hata kama ingekuwa kweli hayo ni maisha yake binafsi wasiiingiliie ambao nao wamemjia juu ktk instagram yake kuwa anatema povu kwakuwa amechenjuliwa na wajumbe.......sijui nimeeleweka duhhhh
 
Ipo hivi mara ya kwanza zilisambaa picha za mayele akiwa na uwoya wakiwa ktk gari na mapozinyanayoonesha dalili kuwa wapo in relation,ndio washabiki wengi wa yanga na wengineo wakaanza kumponda mayele kupitia mitandao ya kijamii .
Tena wakihusisha kutokufunga kwake magoli katika mechi kadhaa na haya mahusiano mapya ya kimapenzi na bibi huyo mwenye çonnection yake mjini[emoji23][emoji23][emoji23]..
Sasa manara amekuja kuwachamba mashabiki hao kuwa zile picha zilikuwa ni matangazo ya gsm na hata kama ingekuwa kweli hayo ni maisha yake binafsi wasiiingiliie ambao nao wamemjia juu ktk instagram yake kuwa anatema povu kwakuwa amechenjuliwa na wajumbe.......sijui nimeeleweka duhhhh
Sasa ulikwama wapi kueleza hivi kwenye taarifa yako ya awali.?
 
Hivi kwa mfano ndio ingekuwa kweli shida ni nini?

Hivi Wabongo nani katuroga? Kutwa kuhangaika na maisha ya Watu!!

Mlitegemea Mayele afanye tangazo na Anna kwapa Nene au Shani Nyamichupi?

Mnajisikiaje baada ya kupata ukweli? Kuku nyie !!

@mayelefiston @ireneuwoya8

@gsmmall @maxfashion_tz @gsmtanzania.

View attachment 2439588
Mtuwekee na nyama kidogo . Hapa metuletea mifupa mitupu.
 
Anna kwapanene au shani nyamichupi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom