njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Hatari marehemu Issa makongoro aliyekuwa katibu wa Gongowazi na yule mwekahazina wake walitoa 30,000 ya kitanzania nasikia wakati huo mwaka 1983 ilikuwa nyingi sana kuwahonga marefa kutoka Ethiopia ili wawapendelee mechi na Gor mahia......Duh.....! Wafuga ng'ombe wetu Kweli ni Wazee wa ' Historia'
Hatari marehemu Issa makongoro aliyekuwa katibu wa Gongowazi na yule mwekahazina wake walitoa 30,000 ya kitanzania nasikia wakati huo mwaka 1983 ilikuwa nyingi sana kuwahonga marefa kutoka Ethiopia ili wawapendelee mechi na Gor mahia......
Utopolo wana historia za kipekee sana kwa kweli uzuri hata msemaji wao kawa muungwana kutukumbushia
Ulipona ule ugonjwa wako ambao sometime unafakunya uwe na stress kama malaya mjamzito au mtu aliyehasiwa?Gongo open utopwinyo
uko nje ya topic....anzishia uzi kuhusu ujazuzito hapa tunamzungumzia marehemu Issa makongoro aliyefungiwa maisha na CAf na utopolo kufungiwa kwa miaka 3 na CAf ..ama kwa hakika ni historia iliyotukuka asante semaji la utopwinyo kwa kutukumbusha historia hii mujarabu kabisaUlipona ule ugonjwa wako ambao sometime unafakunya uwe na stress kama malaya mjamzito au mtu aliyehasiwa?
huu ndio upuuzi wa baadhi ya wenzetu. sijui ni uzuzu au ushamba au ukosevu wa akili. mambo ya Jukwaa la Siasa, MMU unayaleta huku. Vipi wewe mambo ya kitandani kwa mama yako ikiwa tunayajua tunalete huku?Ulipona ule ugonjwa wako ambao sometime unafakunya uwe na stress kama malaya mjamzito au mtu aliyehasiwa?
Albino ana wapambe wa kutosha huku wanatamani waseme hii ni fake news bahati mbaya huwa haizungumzwi sana na makanjanja lakini haya majamaaa yako kwenye rekodi za CAF kutoa rushwa kwa waamuzi na kufungiwahuu ndio upuuzi wa baadhi ya wenzetu. sijui ni uzuzu au ushamba au ukosevu wa akili. mambo ya Jukwaa la Siasa, MMU unayaleta huku. Vipi wewe mambo ya kitandani kwa mama yako ikiwa tunayajua tunalete huku?
Ni kawaida sana kwani Yanga kimataifa haina issue, ni timu ya kizembe sana. Uchawi wao ni wa hapa hapa tu, wenzao wanakuwa na talent wao wanakuwa na uchawi na ndiyo maana hawafiki mbali.Yes hii ni kwa wale wasiojua, utopolo 1983 walijaribu kuwahonga waamuzi wahabeshi wakaripotiwa CAf na kukutan ana rungu zito la kufungiwa, ni rekodi ya kipekee ambayo hawa jamaa hadi leo wanaishikilia.
Jisomee mwenyewe hekima za msemaji wa team hiyo akikumbushia jinsi team yake ilivyoweka historia muhimu.
View attachment 2175269
unaikumbuka hii ? bada aya hapo wakadai muunganiko haukuwa sawa baada ya kupigwa nje ndaniNi kawaida sana kwani Yanga kimataifa haina issue, ni timu ya kizembe sana. Uchawi wao ni wa hapa hapa tu, wenzao wanakuwa na talent wao wanakuwa na uchawi na ndiyo maana hawafiki mbali.
Yanga ni timu ya kipumbavu na mashabiki wake karibia ya wengi ni mazezeta. Timu inapigania sifa hapa ndani ikitoka nje ya nchi jamvi la wageni, kila mwaka mambo ni yale yale.unaikumbuka hii ? bada aya hapo wakadai muunganiko haukuwa sawa baada ya kupigwa nje ndani
View attachment 2176285