lutajangurwa
Senior Member
- Sep 21, 2019
- 126
- 172
Kuna mkata maono mzuri, zaidi ya Manara kwenye tasnia ya mpira wa miguu?Ahmed Ally kila siku ni kukata viuno tu mtaani kwa kigezo cha hamasa
Kuwa makini na kuattack uumbaji wa Mwenyezi MunguAcheni kumfananisha Ahmed Ally na watu wanaogopa kuyeyuka juani
Ulitaka amkatikie mama yako?Ahmed Ally kila siku ni kukata viuno tu mtaani kwa kigezo cha hamasa
Mzee Tozi alifaidi kweliMiuno kama yote huku akibong'oaView attachment 2198755
Gide MK njoo umuone mkata miuno halisi sasa, Ahmed Ally unamsingizia tu.Miuno kama yote huku akibong'oaView attachment 2198755
We unakata kitandani Kwa kigezo Cha kukojoaAhmed Ally kila siku ni kukata viuno tu mtaani kwa kigezo cha hamasa
Hivi kwanini mnapenda sana kuwanyima watu uhuru kwa kauli zenu hizi za mikwara,??acheni kuogopesha watu,yeye mwenyewe ndio bingwa wa kuwatania wengine ila akiguswa yeye mnaleta haya maneno yenu ya kujilinda.....Kuwa makini na kuattack uumbaji wa Mwenyezi Mungu