Manara - Nipo tayari kuwa mfagiaji Yanga/ siwezi kuwa mnyonge kukosa usemaji yanga na Rais kashaamua

Manara - Nipo tayari kuwa mfagiaji Yanga/ siwezi kuwa mnyonge kukosa usemaji yanga na Rais kashaamua

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Haji Manara amesema yupo tayari kufanya kazi ndani ya Yanga hata ikiwa kazi ya ufagiaji na kamwe siwezi kuwa mnyonge kukosa usemaji Yanga.

Aidha Manara amesema anaheshima alichokisema Rais wa Klabu hiyo Eng Hersi Said wakati akifanyiwa Mahojiano na Wasafi FM siku 2 zilizopita na kusema Haji Manara si Msemaji wa Timu bali Ali Kamwe ndiye Msemaji na kusema Manara atapangiwa majukumu mengine ndani ya Yanga SC.

Soma Pia: Eng. Hersi: Haji Manara sio Msemaji wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpa
 
That's the REAL BUGATTI WE KNOW!
CCM walipomfukuza Uenezi kama Mbwa kwa maneno ya Fitna,Haji alirudi mtaani Magomeni kuanza upya.
Hakuwapigia Magoti CCM,ona alipofika sasa!
Alikuwa analalamika tu kuwa hawakuthamini Mchango wake.
 
Haji Manara amesema yupo tayari kufanya kazi ndani ya Yanga hata ikiwa kazi ya ufagiaji na kamwe siwezi kuwa mnyonge kukosa usemaji Yanga.

Aidha Manara amesema anaheshima alichokisema Rais wa Klabu hiyo Eng Hersi Said wakati akifanyiwa Mahojiano na Wasafi FM siku 2 zilizopita na kusema Haji Manara si Msemaji wa Timu bali Ali Kamwe ndiye Msemaji na kusema Manara atapangiwa majukumu mengine ndani ya Yanga SC.

Soma Pia: Eng. Hersi: Haji Manara sio Msemaji wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpa
Amekuwa na hekima
 
1724412799561.png
 
Kwanini alijitangazia kurudi kwenye nafasi yake bila kupata clearance ya waaajiri wake?
Kwanini aseme yeye hana boss! Utafanyaje kazi ikiwa hutaki kuwa nchi ya mtu yeyote?
Tumsamehe tu,masuala ya ajira hayajui
 
Kwa ninavyomfahamu manara hapo anajidai kama ameridhika ila moyo unawaka moto na Hersi ndo kashamuona kama adui yake tayari, siku siyo nyingi ataanza kuandika caption ndefu ndefu

Nasubiri kusikiliza clip zake akiwa analia kama alivyolia kwa babra
 
Back
Top Bottom