Yoav Gallant JF-Expert Member Joined May 23, 2023 Posts 2,122 Reaction score 4,699 Jan 31, 2024 #21 Mzungu pori akili kisoda
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Jan 31, 2024 #22 LICHADI said: Anapenda shuhuli huyo Click to expand... Halafu kitandani? Sent using Jamii Forums mobile app
LICHADI said: Anapenda shuhuli huyo Click to expand... Halafu kitandani? Sent using Jamii Forums mobile app
Mwl.RCT JF-Expert Member Joined Jul 23, 2013 Posts 14,624 Reaction score 20,666 Jan 31, 2024 #23 Mjanja M1 said: Ye, Tutafanya InshaAllah na itakuwa katika Standard kubwa kuzidi ya juzi na tushaanza mazungumzo ya kina kupata Tv rights na Vituo vya Television nchini. Click to expand... Kibiashara zaidi.
Mjanja M1 said: Ye, Tutafanya InshaAllah na itakuwa katika Standard kubwa kuzidi ya juzi na tushaanza mazungumzo ya kina kupata Tv rights na Vituo vya Television nchini. Click to expand... Kibiashara zaidi.
Good Father JF-Expert Member Joined Feb 28, 2014 Posts 10,321 Reaction score 18,574 Jan 31, 2024 #24 Ndoa haitaki umaarufu anapoteza hela na kujishughulisha na mambo ya kitoto siku kadhaa wameachana. Ndoa haitaki umaarufu na ujuaji ataoa sana[emoji23]
Ndoa haitaki umaarufu anapoteza hela na kujishughulisha na mambo ya kitoto siku kadhaa wameachana. Ndoa haitaki umaarufu na ujuaji ataoa sana[emoji23]
Alvajumaa JF-Expert Member Joined Jul 5, 2018 Posts 5,039 Reaction score 6,253 Jan 31, 2024 #25 KDB ana hekaheka sana
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Jan 31, 2024 #26 Good Father said: Ndoa haitaki umaarufu anapoteza hela na kujishughulisha na mambo ya kitoto siku kadhaa wameachana. Ndoa haitaki umaarufu na ujuaji ataoa sana[emoji23] Click to expand... Kwake ni biashara Uzuri ikitokea akamalizana na huyu Atamuokota mwingine huko nchi ya insta aendeleze naye mambo ya ndoa Ova
Good Father said: Ndoa haitaki umaarufu anapoteza hela na kujishughulisha na mambo ya kitoto siku kadhaa wameachana. Ndoa haitaki umaarufu na ujuaji ataoa sana[emoji23] Click to expand... Kwake ni biashara Uzuri ikitokea akamalizana na huyu Atamuokota mwingine huko nchi ya insta aendeleze naye mambo ya ndoa Ova