GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
C E O wa Manara Tv na Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM Haji Manara amefunguka kuwa miongoni mwa wanawake majasiri Duniani ni pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan.
Akizungumza na waandishi wa Habari Manara amesema ni mwanamke gani anaweza kuvumilia matusi kila siku na akanyamanza kimya.
"Kuna muda Rais Samia anatukanwa na watu aliyowasaidia kuwatoa magerezani lakini hajawahi kuwajibu wala kuwafungulia mashitaka" Alisema Haji Manara
Chanzo: Manara TV
Akizungumza na waandishi wa Habari Manara amesema ni mwanamke gani anaweza kuvumilia matusi kila siku na akanyamanza kimya.
"Kuna muda Rais Samia anatukanwa na watu aliyowasaidia kuwatoa magerezani lakini hajawahi kuwajibu wala kuwafungulia mashitaka" Alisema Haji Manara
Chanzo: Manara TV