Manara tunajua unataka sana Kugombea Ubunge Jimbo muhimu Dar es Salaam hivyo unampamba mama ili akupambanie uupate

Manara tunajua unataka sana Kugombea Ubunge Jimbo muhimu Dar es Salaam hivyo unampamba mama ili akupambanie uupate

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
C E O wa Manara Tv na Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM Haji Manara amefunguka kuwa miongoni mwa wanawake majasiri Duniani ni pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan.

Akizungumza na waandishi wa Habari Manara amesema ni mwanamke gani anaweza kuvumilia matusi kila siku na akanyamanza kimya.

"Kuna muda Rais Samia anatukanwa na watu aliyowasaidia kuwatoa magerezani lakini hajawahi kuwajibu wala kuwafungulia mashitaka" Alisema Haji Manara



Chanzo: Manara TV
 
Yani haji Manara awe mbunge? Hilo jimbo Haji Manara atakaloshinda ubunge hicho ndo kitakua kipimo cha jimbo gani limejaa vilaza
Sasahv kule mjengoni hakuna maajabu yoyote so hata mtoto mdogo anaweza kuingia tuu. Bunge lililoweka maana ya bunge ni lile la kipindi kile cha Marehemu mzee Sitta.
 
Back
Top Bottom