GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Acha roho mbayaNahitaji sana maombi, simpendi Manara bila sababu.
Kama yako.Acha roho mbaya
Nakupenda sana weweKama yako.
Manara ni mnafki?unampendaje mnafki dadaNahitaji sana maombi, simpendi Manara bila sababu.
Baba yake alimpigia Magoti Mkwere na yakamalizwa Kiurafiki na Kiubagamoyo zaidi.Hivi wale aliowatapeli magari aliwalipa?
Sasahv kule mjengoni hakuna maajabu yoyote so hata mtoto mdogo anaweza kuingia tuu. Bunge lililoweka maana ya bunge ni lile la kipindi kile cha Marehemu mzee Sitta.Yani haji Manara awe mbunge? Hilo jimbo Haji Manara atakaloshinda ubunge hicho ndo kitakua kipimo cha jimbo gani limejaa vilaza
Kama mama amefaa kwanini manara ashindwe?Manara hafai kuwa hata mjumbe wa nyumba 10.