Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Ofcoz Simba na Yanga zinatumuka. Ndio maana leo stori ya Magoma na Yanga imetengenezwa ili kufanya diversion ya stori ya Nape anavyotuibiaga kura.
Na kwasababu watanzania hawajui kinachoendelea huku duniani, kila kitu kwao poa tu na ndo maana Nape sio mara ya kwanza wala ya mwisho kutuambia hivyo kwasababu anajua hata atuambie nini, hatuwezi mfanya chochote. Safi sana Nape
Ufipa st 😀Jiwe gizani
Unaturingishia mumeoNdio nani huyu Wakuu?
Mwehu mwingine huyuManara apuuzwe tu.....! Huko alipo Wote Mazuzu watupu isipokuwa Baba yake na JK tu
Hata mimi najua ni chizi fulani hizitangu nianze kumsikiliza manara leo ndo kaongea jambo la kutafakari sana.........kwamba ushabiki wa simba na Yanga una manifaa kwa nchi yetu au ni hatari unaua vijana wengi.
Leo 99% busy walikuwa busy na story za Yanga huku majangili ya nchi yanakiiba vizuriManara yupo sahihi,niliwahi kulisema hili miaka kadhaa nyuma.
Dini ya Simba na Yanga inavyodhoofisha maisha ya Watanzania
Inasikitisha na kushangaza sana. Miaka zaidi ya 60 ya Uhuru,nchi ambayo inasemekana tuna utajiri wa maji kuliko nchi yoyote ukanda huu wa maziwa makuu na pengine Afirka nzima,leo tunajadili swala la mgao wa maji.Tena Kuna wengine wameenda mbali zaidi kwa kuandika makala za kuwasifia Waislamu...www.jamiiforums.com
Labda huu ndio uchawi wenyeweHii video inaeleza/fafanua mambo mengi sana yanayotrend..
NB zingatia na hukumu ya kina mzee magoma tangu august 2023 na kukamata trend sasa hivi.[URL
======
Utani wa Simba na Yanga umesaidia kuleta utulivu katika Siasa za Tanzania na Serikali inauunga mkono kwa asilimia mia kwa sababu kuna wakati ajenda inakuwa Simba na Yanga lakini huku umeme hakuna, maji yamekatika huku sukari hamna lakini watu wanafocus na Pacome na Chama nani zaidi, umeme hakuna, maji hakuna, sukari iko juu lakini ajenda kwenye Social media watu Pacome na Chama nani zaidi.
Leo 99% busy walikuwa busy na story za Yanga huku majangili ya nchi yanakiiba vizuri
Hao wasomi ,wauza magazeti,madalali, shoe shine,wauza kahawa,madereva taxi na wao hao ..baadhi wanakua kaziniKinachonishangaza Mimi,hadi wasomi wa nchi hii ambao tulitegemea wangekuwa wakombozi wa hili taifa nao wamekuwa mazezeta ya kujadili Simba na yanga.
Leo nilishinda posta,Kila mahali unapopita ni mijadala juu ya yanga tu na swala la mahakama.
Wameshasahau hoja ya Nape.
Wameshasahau hoja ya yule jamaa wa chadema aliteteswa na polisi kule Tanga.
Inasikitisha sana. Simba na yanga ni zaidi ya dini hapa Bongo.