Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,046
- 3,971
Msemaji wa Simba SC Bwana Haji Manara anaongea na waandishi wa habari.
Katika maisha yangu sijawahi kuona mechi ya Yanga na Simba yenye mashabiki wachache kama ya juzi. Kumekuwa na ishu ya kuidhurumu Simba haki bila sababu kupitia waamuzi wetu haswa katika mchezo wa juzi
Yanga tumewapiga mechi nyingi wakiwa kamili Ngoma, Tambwe na wengine wote walionunuliwa fedha nyingi msimu uliopita. Wanasema kikosi cha Simba kina thamani ya bil.1 umewahi kujua kama Chirwa pekee ana thmani ya mil.200? Simba tulinyimwa Penalti mbili dhidi ya Mbao FC John Bocco aliangushwa lakini mwamuzi akakataa
Tunatumia gharama kubwa kuendesha hivi vilabu lakini mwamuzi anatoka nyumbani na matokeo. Tumewaandikia barua TFF na Waziri mwenye dhamana ya michezo kulalamikia haya maamuzi ya ajabu kwenye mpira. Benchi la ufundi Simba halina mabadiliko tunaendelea na kocha Omog na Juma Masoud na timu inafanya mazoezi
Katika maisha yangu sijawahi kuona mechi ya Yanga na Simba yenye mashabiki wachache kama ya juzi. Kumekuwa na ishu ya kuidhurumu Simba haki bila sababu kupitia waamuzi wetu haswa katika mchezo wa juzi
Yanga tumewapiga mechi nyingi wakiwa kamili Ngoma, Tambwe na wengine wote walionunuliwa fedha nyingi msimu uliopita. Wanasema kikosi cha Simba kina thamani ya bil.1 umewahi kujua kama Chirwa pekee ana thmani ya mil.200? Simba tulinyimwa Penalti mbili dhidi ya Mbao FC John Bocco aliangushwa lakini mwamuzi akakataa
Tunatumia gharama kubwa kuendesha hivi vilabu lakini mwamuzi anatoka nyumbani na matokeo. Tumewaandikia barua TFF na Waziri mwenye dhamana ya michezo kulalamikia haya maamuzi ya ajabu kwenye mpira. Benchi la ufundi Simba halina mabadiliko tunaendelea na kocha Omog na Juma Masoud na timu inafanya mazoezi