Mario Kejob
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 441
- 536
Maelezo yake yote yamejikita kwenye maslahi binafsi na imedhihirika kuwa yeye alikuwa anajihisi kama ni mkubwa kuliko Simba. Majigambo ya kila aina. What an ego centric individual.
Tunashabikia Simba na sio Manara. Manara did not make Simba but the reverse is true.
Apeleke huo u tia mchuzi pangu pakavu wake huko huko GSM na Azam na Simba hapendwi mtu inapendwa club.
Amezengua acha tu azenguliwe. Angekaa kimya ingekuwa vizuri lakini inaelekea anataka malumbano na ninaliomba chama langu lisimjibu kitu.
Mo put it right, NO BODY IS BIGGER THAN SIMBA.
Before I had a little sympathy for him but now it's all gone. He si now acting as a snitch. May be he is.
Tunashabikia Simba na sio Manara. Manara did not make Simba but the reverse is true.
Apeleke huo u tia mchuzi pangu pakavu wake huko huko GSM na Azam na Simba hapendwi mtu inapendwa club.
Amezengua acha tu azenguliwe. Angekaa kimya ingekuwa vizuri lakini inaelekea anataka malumbano na ninaliomba chama langu lisimjibu kitu.
Mo put it right, NO BODY IS BIGGER THAN SIMBA.
Before I had a little sympathy for him but now it's all gone. He si now acting as a snitch. May be he is.