manchester 2-blackbn 3.

white wizard

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2011
Posts
8,566
Reaction score
13,770
hatimaye ferguson asherekea siku yake ya kuzaliwa kwa aibu!safi sana, na eti bado anadai ktk dirisha dogo la usajiri la january hana mpango wa kusajiri.mi ni mpenzi wa man u,lakini kwa timu hii ni aibu,japo kuna majeruhi wengi lakini cio sababu kubwa.Na nilishatoa angalizo toka mwanzo huyo golikipa(fidodido)!
 
acha wapigwe tusherekehe mwaka vizuri maana makelele yao ni balaa
 
ilakweli hawa jamaa wana makelele vibaya lakini nawapa pole kwa kipigo
 

Eti na wewe ni mshabiki hebu toa kelele hapa.........hakuna aibu yeyote pale mbona yanatokea sana EPL au hujaona kilichotokea darajani. Acha mpira wa vijiweni umekua sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…