Manchester city hajawahi kufungwa na inter millan kwenye uwanja wake wa nyumbani kabisa je ataruhusu kipigo leo??

Huwa mnanifurahisha sana nyie wachambuzi wa mpira. Yaani unatumia rekodi za mwaka 97 kui judge hii man city ya leo?
 
Mleta mada najua ile

Manchester city vs Inter Milan

Imekuchanganya na kuona Man City yupo home.

Jibu ni kwamba City alitangulia kufuzu fainali.
 
Mleta mada najua ile

Manchester city vs Inter Milan

Imekuchanganya na kuona Man City yupo home.

Jibu ni kwamba City alitangulia kufuzu fainali.
Nawewe pia umeingia cha kike, inter ndie alitangulia final.

Ile route ya city (city, bayern, madrid, chelsea) ndio ilikua inaenda kutoa host.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…