Manchester City na Juventus zimekubaliana kuhusu uhamisho wa mshambuliaji Mreno Cristiano Ronaldo

Manchester City na Juventus zimekubaliana kuhusu uhamisho wa mshambuliaji Mreno Cristiano Ronaldo

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
Juventus wanataka kati ya £21m-25m kwa ajili ya Ronaldo, huku City ikitarajiwa kumpa mkataba wa miaka 2. (Guardian)

Klabu hiyo ya Italia inatarajia Ronaldo atabakia klabuni hapo lakini wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa City mbrazil Gabriel Jesus, 24, kama mbadala wake. (Sky Sports)


_120299699_gettyimages-1334148272.jpg
 
Back
Top Bottom