N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 22,976 Reaction score 22,564 Jul 13, 2020 #21 Pain killer said: Nilikuwa wa mwisho kuamini kuwa man city hawez kucheza uefa kwa miaka miwili Click to expand... Wewe kama mimi, ulaya adhabu zao sijui zikoje aisee, chelsea kafungiwa mara kafunguliwa, huyu nae walewale tu
Pain killer said: Nilikuwa wa mwisho kuamini kuwa man city hawez kucheza uefa kwa miaka miwili Click to expand... Wewe kama mimi, ulaya adhabu zao sijui zikoje aisee, chelsea kafungiwa mara kafunguliwa, huyu nae walewale tu
Acehood JF-Expert Member Joined Oct 1, 2018 Posts 1,653 Reaction score 2,792 Jul 13, 2020 #22 Kinyonyoke said: Ubaya wake upi wakati man Utd anamaliZa nafasi ya nne...acha ulevi we shabiki wa Chelsea Click to expand... Ya tatu mkuu sio ya nne
Kinyonyoke said: Ubaya wake upi wakati man Utd anamaliZa nafasi ya nne...acha ulevi we shabiki wa Chelsea Click to expand... Ya tatu mkuu sio ya nne
GenuineMan JF-Expert Member Joined Jun 13, 2017 Posts 6,260 Reaction score 14,470 Jul 13, 2020 #23 nguvu said: Wewe kama mimi, ulaya adhabu zao sijui zikoje aisee, chelsea kafungiwa mara kafunguliwa, huyu nae walewale tu Click to expand... Money always win.
nguvu said: Wewe kama mimi, ulaya adhabu zao sijui zikoje aisee, chelsea kafungiwa mara kafunguliwa, huyu nae walewale tu Click to expand... Money always win.
P pye Chang shen JF-Expert Member Joined Jul 11, 2016 Posts 11,422 Reaction score 6,108 Jul 13, 2020 #24 Wangefuta na faini ningewaelewa
Saharavoice JF-Expert Member Joined Aug 30, 2007 Posts 4,017 Reaction score 2,580 Jul 13, 2020 #25 Wasiokupenda utawajua, wakati ukifurahi wao wanachukia. City moto chini, city moto chini...... Tukutane Uefa
Wasiokupenda utawajua, wakati ukifurahi wao wanachukia. City moto chini, city moto chini...... Tukutane Uefa