Manchester city wamepigwa ndoige huko. Arsenal juuuu

Kuna mdau alianzisha thread kwamba Guardiola anamtengenezea mazingira arteta achukue ubingwa leo ndio nimeamini unamuweka kdb nje bila sababu halafu unataka ushindi yule guy anaihujumu team alimuweka joao cancelo nje bila sababu mpaka mwenyewe akaaamua kuondoka.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Gunnerz mnaweza kuukosa ubingwa kimasiala.. wikiend mnakutana na kiboko ya vigogo brentford mwenyewe na bado hamjacheza na city game mbili hamjamfata newcastle kwake safari bado ni ndefu kwa kweli
Huyo kwake alikuwa 3 sijui 4
 
Mechi ilopita na spurs alimuweka KDB nje na alishinda nne
 
Akili za Makolokolo bhana, mbona jana Kagere aliwatengenezea Mbumbumbu urahisi wa kubeba point 3 kwa Singida FC akijikosesha nafasi 3 za wazi kabisa kuwafunga Malalamiko FC lakini hukuelezea?[emoji1787]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Na man u akizichanga karata vzr anabeba ndoo.Aendelee kukimbiza mwizi kimya kimya
 
Gunnerz mnaweza kuukosa ubingwa kimasiala.. wikiend mnakutana na kiboko ya vigogo brentford mwenyewe na bado hamjacheza na city game mbili hamjamfata newcastle kwake safari bado ni ndefu kwa kweli
Pia kumbuka kuwa tumemfunga Man united na Tottenham home and away. So usituchukulie poa

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Hizi imani daaaah

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…