Manchester City wamtaka Bukayo Saka

Manchester City wamtaka Bukayo Saka

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1654627515243.png

Inadaiwa Klabu ya Manchester City imeongeza jitihada za kutaka kumsajili nyota wa Klabu ya Arsenal na timu ya Taifa ya England, Bukayo Saka

Mabingwa hao wa England wanafuatilia kwa karibu mustakabali wa Saka katika Klabu ya Arsenal ambapo amebakiza miaka miwili katika mkataba wake

Hata hivyo, moja ya vipaumbele vya Arsenal majira haya ya joto ni kumpa Saka mkataba mpya ulioboreshwa utakaoendana na kiwango chake bora cha sasa
 
huu ni uvumi uchwara, Huyu City akafanye nini? Labda akawe ball boy
 
Arsenal wakimuuza huyu hawajielewi.
 
Back
Top Bottom