JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Man City imetwaa umetwaa ubingwa huo kwa kufikisha pointi 93 huku Liverpool ikishika nafasi ya pili kwa kuwa na pointi 92 baada ya kushinda mchezo wa mwisho dhidi ya Wolves kwa mabao 3-1.
Licha ya kuwa nyuma kwa mabao 2-0 hadi dakika ya 75 katika mchezo wa leo, Man City ilirejesha makali na kupata mabao yake dakika ya 76, 78 na 81. Huo ni ubingwa wa 8 wa Premier League kwa Man City.