mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,252
Hakika Kocha wa MAN CITY kadhibitisha ubabe wake Kwa kuitandika MAN U mbele ya mashabiki wake Na kupelekea Kufa kiume kama YANGA ya Tanzania.Pongezi kwako Pep Goudiola umemziba mdomo. Jose mourihno.