Bado hajazoea uwanja.Nikajua Ronaldo ndio ufunguo kumbe bado ni utopolo?
Ila mnazingua nyie manyumbu. Team iko mtu mmoja pungufu na iko ugenini na bado hata kabla ya kuwa pungufu Young Boys walikuwa wanaupiga mwingi wakumwagika.Sijawai kuona kocha mjinga Kama ole yaani timu Kama man u ilivyo unapaki basi kwa young boys?