Manchester united sasa ni pombe ya ngomani!

Twin Tower

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2023
Posts
2,170
Reaction score
3,067
Hii timu ikamilishe mchakato wa uuzwaji wake ili ipate utulivu wa kiutawala.

Haiwezekani timu inakuwa kama pombe ya ngomani, tena kule uzaramoni kbs yeyote mwenye kata anachota tu.

Timu limekuwa kama ngoma ya wandengereko, yeyote yule anapiga tu.

Hakuna kocha pale, afukuzwe haraka sana kbl timu haijashindwa kuingia top 4. Vinginevyo Europa inahusika.
 
Yaani wewe uweke makalio yako Hapo usubiri wanaume wenzio watoke jasho ili wakupe furaha wewe,,,kwani unachangia nini cha maana kwa ajili yao??acha uzwazwa kaka
 
Yaani wewe uweke makalio yako Hapo usubiri wanaume wenzio watoke jasho ili wakupe furaha wewe,,,kwani unachangia nini cha maana kwa ajili yao??acha uzwazwa kaka
Povu la nini mkuu, inauma au
 
Nani kasema ikiuzwa mafanikio yatakuja? Au hamuwaoni Chelsea?.
Nadhani mpeni kocha wenu muda wa usajili, mtatisha some seasons to come.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…