Night Watch
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 2,092
- 2,126
OkSawa mkuu
Hapa ni kuamia EPL hakuna namna.Hahaaa. Pole sana mwana yanga lia lia mwenzangu. Aisee timu yetu inakera sana.
Bora tuhamie EPL huenda tukafarijika na sisi.
OT niko toka mda,ila sasa naamisha ushabiki wa yanga na uongezea huko.karibu Sana Old Trafford
πππππHuna kwa kujipoza sasa hivi.Mimi Yanga na Liverpool na Madrid.Miaka ya nyuma hapa Yanga na Madrid walipa raha zote nilizozitaka katika soka,safari hii hata Madrid inanipa wasiwasi.
Sawa mkuu.Ni aibu kubwa shabiki wa man u kuishabikia yanga...
Yanga size yake ni mashabiki wa arsenal!
Wametoa sare,halafu wanacheza mpira kama watoto wachekechea.Kwani Yanga wamekuwaje leo?
Ni kweli kocha bomu.Yanga kocha uwezo wake umefika mwisho
Yaan majanga.Nipo naangalia chesii na man city ila sna raha.Ngoja niagize kasichana ka spirit of the nationπππππHuna kwa kujipoza sasa hivi.
Sawa mkuu.Yaan majanga.Nipo naangalia chesii na man city ila sna raha.Ngoja niagize kasichana ka spirit of the nation
Tuma Salamu Kwa OmoGMimi ni mmoja kati ya mashabiki lia lia wa man u na young africa,kwa yanga kila siku zinavyosonga timu inazidi kuwa mbovu kuliko jana.Sasa kwa wale mashabiki wenzangu wa yanga na man u dawa ni kuamishia ushabiki wote kwa united.
Kwa maana hiyo yanga hakuna timu imebaki jina tu,kocha mwenyewe yupo yupo tu kwa sasa.Inatupasa kustaafu kushabikia yanga kwa sasa kwani ni kujitia presha.
Wale wa msimbazi ni muda wenu kutesa mkishindwa safari hii mtakuwa.........................