manchester united yaanza kwa ushindi wa 2-1 ila...

white wizard

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2011
Posts
8,566
Reaction score
13,770
man utd yaanza ligi kwa ushindi kiduchu kwa kuifunga w-brom,bao 2-1 ila lile jinamizi la golikipa bao linaendelea kwa michomo hatari anatoa! Ile ya kipuuzi ndio anafungwa!ina maana inawezekana ile huwa anabahatisha?au tumuombe vand saar abatilishe uamuzi wa kustaafu kwani kwa staili hii,atatugharimu sana.na sisi ni wazee wa mataji.
 
<br />
<br />
No comment from me; Arsenal fan; yangu yananishinda, yako siyawezi.
 
<br />
<br />
Nakubaliana na wewe@100% hata namba 6 hatuna mtu wakuaminika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…