Mandojo apewa milioni 6 na diamond kama msaada

Ama kweli kutoa ni moyo na wala so utajili,hawa ndo wasanii tunao wataka,awe kioo cha jamii haswa.
Nawasilisha hoja
We benson umevurugwa... Kaandike vizur afuu urudi... Domo ampe milion 6 mtu bureee
 
Anamkaribisha kwenye chama
Cha
 
Hivi ungekaa ukandika vizuri watu wakakuelewa ingekuwaje? Ulikuwa unawahi wapi mkuu
 
Siku ya wajinnga inaisha saa ngp ?
 
mandojo aangalie, yasije yakamkuta yale ya mzee gurumo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…