Mandonga azuiliwe kucheza ndondi atakuja kuuawa

Mandonga azuiliwe kucheza ndondi atakuja kuuawa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huu ni ushauri kwenda kwa Mamlaka zinazosimamia mchezo wa Ngumi , huyu jamaa hana uwezo wa kupigana , anasukumwa na usela tu , ngumi ni mchezo wa hatari sana kwa afya ya mtu , unaweza kusababisha kifo .

Mandonga anazipenda sana ngumi ila hana uwezo , AZUILIWE KUINGIA ULINGONI KWA MANUFAA YAKE NA FAMILIA YAKE
 
Huu ni ushauri kwenda kwa Mamlaka zinazosimamia mchezo wa Ngumi , huyu jamaa hana uwezo wa kupigana , anasukumwa na usela tu , ngumi ni mchezo wa hatari sana kwa afya ya mtu , unaweza kusababisha kifo .

Mandonga anazipenda sana ngumi ila hana uwezo , AZUILIWE KUINGIA ULINGONI KWA MANUFAA YAKE NA FAMILIA YAKE
Ukifa wakati unatafuta si kosa

Kosa ni kufa kwa njaa

Ukiona fursa sogea unaweza kupata chochote na maisha yakaenda

Ameona fursa mwache aitumie
 
Huu ni ushauri kwenda kwa Mamlaka zinazosimamia mchezo wa Ngumi , huyu jamaa hana uwezo wa kupigana , anasukumwa na usela tu , ngumi ni mchezo wa hatari sana kwa afya ya mtu , unaweza kusababisha kifo .

Mandonga anazipenda sana ngumi ila hana uwezo , AZUILIWE KUINGIA ULINGONI KWA MANUFAA YAKE NA FAMILIA YAKE
Akifa hasara ni yake
 
Kama ile jana kaanza kupoteza fahamu mapema tu lakini analazimisha eti yupo sawa aendelee sema kakutana na mzee mwenzie ila uwezekano wa kufa unawezekana

Kuna refa mmoja simkumbuki jina ni mzee hivi huwa anatabia ya kuacha kwa muda bondia apigwe ngumi kadhaa ndo anazuia pambano,sasa akikutana na refa wa namna hiyo anaweza kufa
 
Aende kwa watunisha misuli au kunyanyua vitu vizito atengeneze mwili kama kina Randy Orton au The Rock !!! Michezo ni mingi ya kushiriki anaweza pia kuchukuliwa kwenye movies ! Hollywood kama body lake likikubali
Swadakta
 
Huu ni ushauri kwenda kwa Mamlaka zinazosimamia mchezo wa Ngumi , huyu jamaa hana uwezo wa kupigana , anasukumwa na usela tu , ngumi ni mchezo wa hatari sana kwa afya ya mtu , unaweza kusababisha kifo .

Mandonga anazipenda sana ngumi ila hana uwezo , AZUILIWE KUINGIA ULINGONI KWA MANUFAA YAKE NA FAMILIA YAKE
Bills zake utalipa wewe?

Unataka aje mtaani aanze kukaba watu

Uzuri wa ngumi hata ukipoteza ila hela unapata
 
Tyson alipigwa kwanini ajabu kwa Mandonga?,ajipange upya arudi tena ulingoni tuone vituko,sisi team Mandonga tunaimani na mutu ya kazi.
 
Huu ni ushauri kwenda kwa Mamlaka zinazosimamia mchezo wa Ngumi , huyu jamaa hana uwezo wa kupigana , anasukumwa na usela tu , ngumi ni mchezo wa hatari sana kwa afya ya mtu , unaweza kusababisha kifo .

Mandonga anazipenda sana ngumi ila hana uwezo , AZUILIWE KUINGIA ULINGONI KWA MANUFAA YAKE NA FAMILIA YAKE
Sikubaliani na wewe. Kupoteza sio tafsiri ya kua hana uwezo maana hata walio bora hupoteza pia. Kifo isiwe sababu ya kumfanya mtu asifanye anachokipenda kwa ajili ya maslahi ya familia yake. One day atashinda tu!
 
Kama ile jana kaanza kupoteza fahamu mapema tu lakini analazimisha eti yupo sawa aendelee sema kakutana na mzee mwenzie ila uwezekano wa kufa unawezekana

Kuna refa mmoja simkumbuki jina ni mzee hivi huwa anatabia ya kuacha kwa muda bondia apigwe ngumi kadhaa ndo anazuia pambano,sasa akikutana na refa wa namna hiyo anaweza kufa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]avatar yako nahiyo line ya mwisho [emoji16][emoji16][emoji16] nmecheka kinoma
 
Back
Top Bottom