Mandonga kuzichapa Kenya

Mandonga kuzichapa Kenya

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Bondia wa Tanzania, Karim Mandonga a.k.a Mandonga mtu Kazi anatarajia kuzichapa na bondia wa Kenya, Daniel Wanyonyi.

Pambano hilo litafanyika Jumamosi, Januari 14, 2023 nchini Kenya.

Pambano hilo ni pambano lisilo na ubingwa
 
Bondia wa Tanzania, Karim Mandonga a.k.a Mandonga mtu Kazi anatarajia kuzichapa na bondia wa Kenya, Daniel Wanyonyi.

Pambano hilo litafanyika Jumamosi, Januari 14, 2023 nchini Kenya.

Pambano hilo ni pambano lisilo na ubingwa
Kivip halina ubingwa[emoji848][emoji848]
 
Bondia wa Tanzania, Karim Mandonga a.k.a Mandonga mtu Kazi anatarajia kuzichapa na bondia wa Kenya, Daniel Wanyonyi.

Pambano hilo litafanyika Jumamosi, Januari 14, 2023 nchini Kenya.

Pambano hilo ni pambano lisilo na ubingwa
Daniel ana umri gani??
 
Bondia wa Tanzania, Karim Mandonga a.k.a Mandonga mtu Kazi anatarajia kuzichapa na bondia wa Kenya, Daniel Wanyonyi.

Pambano hilo litafanyika Jumamosi, Januari 14, 2023 nchini Kenya.

Pambano hilo ni pambano lisilo na ubingwa
La raundi ngapi? Ushauri wangu ni ule ule waweke ambulance uwanjani na barabara zifungwe kama anapita hustler, Kenya wametaka bondia sisi tumepeleka komediani
 
Back
Top Bottom