Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Kuna lugha za mpito , za mitaani na vijiweni ambazo mtu msomi[aliye elimika] ni aibu na fedheha kusikika akitumia, moja wapo ni:-
- Ubaya Ubwela.
- Maokoto.
- Anguka Nayo
- Matikiti kudondokea.
- We huogopi?
- Gen Z.
- Imepenya Iyo.
- Ina -huu?