Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 245
- 457
Baadhi ya watu wanaotumia hayo maneno huwa wameishiwa hoja, au wana nia zao za kibinafsi. Kiufupi watu hawa hupenyeza vioja vyao kwenye legacy ya mwalimu Nyerere ili wapate ili ionekane kwamba wanaenenda kama Nyerere hivyo jamii isiwahofie.
Mfano ili kufuta legacy ya mwendazake, "Mradi huu umeanza tangu enzi za mwalimu"
Au kwenye sakata la bandari "Hata enzi za mwalimu Shivji hukuwahi kuisifia serikali."
Mfano ili kufuta legacy ya mwendazake, "Mradi huu umeanza tangu enzi za mwalimu"
Au kwenye sakata la bandari "Hata enzi za mwalimu Shivji hukuwahi kuisifia serikali."