Maneno gani ya Kiingereza ulikuja kujua baadaye yanasomwaje?

dah mimi inaonekana kiingereza nimekijua mapema hata maneno ya hivyo nimeyasahau
 
Muda mfupi uliopita (saa 1 asubuhi ya leo hii) nimemsikia mtangazaji mmoja wa Radio One akitamka neno "Windsor" ndivyo sivyo.

Kwamba:
"Mume wa Malkia Elizabeth II, Philip, jana (Jumamosi) amepigiwa mizinga.... toka katika manowari zote za kijeshi za Uingereza kufuatia kifo chake siku ya Ijumaa katika makazi yake kule "Windso".

Windsor : inatamkwa " Winzah"
 
bangi= marijuana. ...kumbe inatamkwa Maruana [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Weird and Wild yalikuwa yananipelekesha enzi hizo[emoji23][emoji23]
Wiirdi na hyo waild
 
Nawakilisha Saint Kayumba hapa, hamna neno hata moja linalonisumbua, ninachofahamu mimi ni kuwa kila eneo katika dunia hii lina namna yake ya matamshi ya maneno ya Kiingereza
 
Id yangu [emoji1426] watu wanaita “George” wakati haliitwi hivyo kuna utofauti hilo jina sio English

Jorge- inatamkwa “Hor-heh” kwa accent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…