Maneno haya ni sawa, tofauti au yanakaribiana?

Maneno haya ni sawa, tofauti au yanakaribiana?

F12

Member
Joined
Jun 15, 2011
Posts
55
Reaction score
9
Kwa matumizi ya kawaida na ya kila siku ya maneno haya, inawezekana kuna watu huitwa kwa majina haya isivyostahiri. Maneno yenyewe ni kama;

  1. Tahila
  2. zezeta
  3. punguani
  4. hayawani
  5. chizi
  6. kichaa
  7. Mwendawazimu
  8. Chakaramu
 
Sina uhakika kama hayawani=taahira...ngoja tuwasubili wakali kwanza
 
Swali zuri, lakini ili kupata ulinganifu na majibu mazuri rejea kwenye Kamusi ya Kiswahili ya TUKI.
 
Kwa matumizi ya kawaida na ya kila siku ya maneno haya, inawezekana kuna watu huitwa kwa majina haya isivyostahiri. Maneno yenyewe ni kama;
  1. Tahila
  2. zezeta
  3. punguani
  4. hayawani
  5. chizi
  6. kichaa
  7. Mwendawazimu
  8. Chakaramu

1)Taahira na sio Tahila. Taahira ni wale watu waliofanana dunia nzia ambao hua ni kama walemavu flani na akili zao hua haziko sawa.

2)Zezeta ni mtu mlemavu pia lakini muili wake anakua umelegea hauwezi ni kama kuparalaiz fulani hivi.

3)Punguani ni mtu mpungufu wa akili anakua sawa ila hazimtoshi vizuri anakua tofauti kidogo na mtu wa kawaida.

4)Hayawani ni neno la kiarabu lenye maana ya mnyama,sasa wasuahili hulitumia pale tunapotaka kumfananisha mtu na mnyama ama kivitendo au kiakili.

5)Chizi ni mtu ambae anaakili zake ila vitendo vyake anavyofanya ni kama mtu alio na upungufu wa akili.

6) Kichaa ni Ugonjwa wa akili mbao ni hatari anaepata ugonjwa huu anaweza kujidhuru mwenyewe au anaweza kumdhuru mtu na hata kuuwa.

7Mwendawazimu ni mtu ambae hukosa akili baadhi ya kipindi na kipindi fulani hutulia akawa mzima.

8)Chakaramu ni Mtu mkamilifu wa akili ila anakosa busara wakati anapofanya mambo yake na pia anakosa utulivu wa nafsi yake,hujifanyia mambo kwa vile akili yake itakavyo mtuma tu.

Maneno haya yote yanakaribiana maana zake ila sio sawa,kila neno lina uzito wake na yote haya yanauhusiano na upungufu wa akili.
 
1)Taahira na sio Tahila. Taahira ni wale watu waliofanana dunia nzia ambao hua ni kama walemavu flani na akili zao hua haziko sawa.<br />
<br />
2)Zezeta ni mtu mlemavu pia lakini muili wake anakua umelegea hauwezi ni kama kuparalaiz fulani hivi.<br />
<br />
3)Punguani ni mtu mpungufu wa akili anakua sawa ila hazimtoshi vizuri anakua tofauti kidogo na mtu wa kawaida.<br />
<br />
4)Hayawani ni neno la kiarabu lenye maana ya mnyama,sasa wasuahili hulitumia pale tunapotaka kumfananisha mtu na mnyama ama kivitendo au kiakili.<br />
<br />
5)Chizi ni mtu ambae anaakili zake ila vitendo vyake anavyofanya ni kama mtu alio na upungufu wa akili.<br />
<br />
6) Kichaa ni Ugonjwa wa akili mbao ni hatari anaepata ugonjwa huu anaweza kujidhuru mwenyewe au anaweza kumdhuru mtu na hata kuuwa.<br />
<br />
7Mwendawazimu ni mtu ambae hukosa akili baadhi ya kipindi na kipindi fulani hutulia akawa mzima.<br />
<br />
8)Chakaramu ni Mtu mkamilifu wa akili ila anakosa busara wakati anapofanya mambo yake na pia anakosa utulivu wa nafsi yake,hujifanyia mambo kwa vile akili yake itakavyo mtuma tu.<br />
<br />
Maneno haya yote yanakaribiana maana zake ila sio sawa,kila neno lina uzito wake na yote haya yanauhusiano na upungufu wa akili.
<br />
<br />
mkuu nakubaliana na wewe koote, ila hapo kwenye neneo zezeta nakataa,,, according to dictionary ya tuki, zezeta imekua tranclated kama a fool, idiot or imbecil,, soo in other words tunaweza kusema zezeta ni mtu mjinga, sio aliyelegea viungo kama usemavyo wewe,
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mkuu nakubaliana na wewe koote, ila hapo kwenye neneo zezeta nakataa,,, according to dictionary ya tuki, zezeta imekua tranclated kama a fool, idiot or imbecil,, soo in other words tunaweza kusema zezeta ni mtu mjinga, sio aliyelegea viungo kama usemavyo wewe,
<br />
<br />
Umenichanganya kabisa yani... Khaa!
 
<br />
<br />
mkuu nakubaliana na wewe koote, ila hapo kwenye neneo zezeta nakataa,,, according to dictionary ya tuki, zezeta imekua tranclated kama a fool, idiot or imbecil,, soo in other words tunaweza kusema zezeta ni mtu mjinga, sio aliyelegea viungo kama usemavyo wewe,

Kwa kujazia hapo Zezeta ni pamoja na ulegevu lakini pia utamuona mdomo wake unalegea mpaka mate yanakuwa yakimtoka muda wote. Mfano wavuta madawa ya kulevya akikosa dawa hizo ndio anakuwa kama Zezeta
 
Back
Top Bottom