Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa matumizi ya kawaida na ya kila siku ya maneno haya, inawezekana kuna watu huitwa kwa majina haya isivyostahiri. Maneno yenyewe ni kama;
- Tahila
- zezeta
- punguani
- hayawani
- chizi
- kichaa
- Mwendawazimu
- Chakaramu
<br />1)Taahira na sio Tahila. Taahira ni wale watu waliofanana dunia nzia ambao hua ni kama walemavu flani na akili zao hua haziko sawa.<br />
<br />
2)Zezeta ni mtu mlemavu pia lakini muili wake anakua umelegea hauwezi ni kama kuparalaiz fulani hivi.<br />
<br />
3)Punguani ni mtu mpungufu wa akili anakua sawa ila hazimtoshi vizuri anakua tofauti kidogo na mtu wa kawaida.<br />
<br />
4)Hayawani ni neno la kiarabu lenye maana ya mnyama,sasa wasuahili hulitumia pale tunapotaka kumfananisha mtu na mnyama ama kivitendo au kiakili.<br />
<br />
5)Chizi ni mtu ambae anaakili zake ila vitendo vyake anavyofanya ni kama mtu alio na upungufu wa akili.<br />
<br />
6) Kichaa ni Ugonjwa wa akili mbao ni hatari anaepata ugonjwa huu anaweza kujidhuru mwenyewe au anaweza kumdhuru mtu na hata kuuwa.<br />
<br />
7Mwendawazimu ni mtu ambae hukosa akili baadhi ya kipindi na kipindi fulani hutulia akawa mzima.<br />
<br />
8)Chakaramu ni Mtu mkamilifu wa akili ila anakosa busara wakati anapofanya mambo yake na pia anakosa utulivu wa nafsi yake,hujifanyia mambo kwa vile akili yake itakavyo mtuma tu.<br />
<br />
Maneno haya yote yanakaribiana maana zake ila sio sawa,kila neno lina uzito wake na yote haya yanauhusiano na upungufu wa akili.
<br /><br /><br />
<br /><br />
mkuu nakubaliana na wewe koote, ila hapo kwenye neneo zezeta nakataa,,, according to dictionary ya tuki, zezeta imekua tranclated kama a fool, idiot or imbecil,, soo in other words tunaweza kusema zezeta ni mtu mjinga, sio aliyelegea viungo kama usemavyo wewe,
<br />
<br />
mkuu nakubaliana na wewe koote, ila hapo kwenye neneo zezeta nakataa,,, according to dictionary ya tuki, zezeta imekua tranclated kama a fool, idiot or imbecil,, soo in other words tunaweza kusema zezeta ni mtu mjinga, sio aliyelegea viungo kama usemavyo wewe,