Maneno haya: Tunakazana na Unakatwa au hakatwi ..

Maneno haya: Tunakazana na Unakatwa au hakatwi ..

Ambiente Guru

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2012
Posts
2,605
Reaction score
1,085
Wambugi na Manguli wa lugha naomba tafsiri halisi ya maneno haya. Kwa wale tuliosoma au kuishi maeneo ya pwani miaka 1970s au Dar es Salaa, ingekuwa tusi mtu kutumia maneno ya Kukatwa mtu au Kukazana. Spika Mstaafa Mhesh Sita alikataza neno "kukazana" kutumika bungeni. Mfano serikali inakazani kumaliza kero au Wabunge ... . Leo hii nakerwa sana kusikia TV na Radio wakitumia neno "Hakatwi mtu hapa" !!!

Kiswahili fasaha ni Haikatwi pesa ya mtu na si kukatwa mtu. Kukata ni kulengeta au kuweka vipande vipande
 
Hizo ni lugha za kawaida 2 mkubwa!ila kwa sababu ulimwengu umetawaliwa na mawazo ya kingono ndo mana unapata shida!
 
Back
Top Bottom