Maneno haya ya Wastara yawatoa watu machozi

"nafasi ya mteso uliyoniweka muweke mwingine"

Mie mmmmhhhhh, hapo hata anayetaka kumsalia anaweza kata tamaaa.

umeonaeee!! embu imagine, kama anaona alipokanyaga pamoto kwa nini anamwomba Mungu amtoe hapo yeye amuweke hapo mwingine?? huyo atakayewekwa hapo atakuwa anamoyo gani wa kuvumilia??
 
Wastara hajaamua tuu still ameng'ang'ania matatizo.Faraja haitoki kwa Wanadamu hata siku moja.
 

ukisoma mpaka mwisho utaona kuwa hiyp picha......imetolewa kwenye moja ya muvi alizoigiza.....so yawezekana hayo maneno pia ni ya kutoka kwenye muvi.....nanukuu "Hakuweka wazi nini hasa kimempata,lakini picha hii inaonekana imetoka kwenye moja ya kipande cha filamu"
 
Mwenye shida Hana muda wa kuandika mtandaoni ili Mungu amuone

umenena vedma, apige magoti chumbani kwake amlililie Mungu shida zake zitakwisha sio kutafuta attention mtandaoni
 
We wastara acha upuuzi wewe, pia unamkufuru mungu, alafu wewe ni mbaguzi mkubwa kwakua wewe unajiona ni bora kuliko huyo atakae amishiwa matatizo yako.
Hii ndo inaonesha namna gani wanadamu hatujibiwi maombi yetu kwa kua tunayaomba ktk mazingira yasio sawa.

Wewe ukijifanya unamatatizo, jua kuna wenzio wanayo zaidi yako, mf ni huu hapa... Ktk picha hii
 

Attachments

  • 1423551691512.jpg
    63.3 KB · Views: 295
"nafasi ya mteso uliyoniweka muweke mwingine"

Mie mmmmhhhhh, hapo hata anayetaka kumsalia anaweza kata tamaaa.

Badala ayaondoshe mateso...eti nafasi hiyo apewe mwingine,nani anayataka hayo???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…