alfajiri ni kuanzia saa 9 usiku hadi 11, na kuanzia 12 ni asbh, kuanzia 6 kamili ni mchana AMBAO huendelea hadi 10.ADHUHURI IMO NDANI YA MCHANA, SAA 7 NI ADHUHURI,NA ALAASIRI NI MWISHO WA MCHANA YAANI SAA 10, Na kuanzia 11 ni jioni na magharibi inaanza kuzama kwa jua hadi saa 1 usiku.