Maneno maarufu secondary za bweni

P.umbu erosion= fangasi wa sehemu za siri ambao unakuna mpk zinatoka unga
 
MUSPACK==== Kusoma usiku...
GAMMU=====Mafuta ya juu ya maharage
Hivi tomato bado zipo?? mashati meupe yalikua yana nembo ya tomato
MAGINGI====Miwa
MBUZI =====Papai
BULLET====Alikuepo mwalimu mfupiiii afu kakifutu, kalikua kanakaza hako utaomba utafute shimo uingie....
PULIZA a.k.a. MDUDU====Mkuu wa shule ( Rector huyo)
SNEACK OUT==== Toroka nje ya shule usiku
KUPUGWA=====Kufkuzwa shule....

Misemo ya wale walosoma Dung'unyi Seminary a.k.a St. Patric's Seminary (2008/2011)
 
Mayao-viazi vitami
Milango-chooni,
shadufu-kisima cha kupampu
Punga-wali
Pola-Uji
Tamsala- songeagirls
Kupuliza- kunywa uji bila kitafunwa

Hii ni songea boys wakuu
 
mtengo= chakula kilicholala
wadudu= samak wa mafungu
mnazi = msichana
konzi = kupunjwa chakula haswa siku ya wali
kusugua cd =kutia vidole watoto wa kike
kutoboa =kusoma had asubuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…