Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,258 Nov 15, 2014 #1 Hatazi.................? ...........................
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,258 Nov 23, 2014 Thread starter #2 kwa kuwa hakuna mchanhgiaji wacha nijichangie mwenyewe
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,258 Nov 23, 2014 Thread starter #3 nimeangalia kwenye kamusi ya kiswahili sanifu hili neno limeandikwa hataza na si hatazi sijuwa wajumbe wa BMK walilitoa wapi
nimeangalia kwenye kamusi ya kiswahili sanifu hili neno limeandikwa hataza na si hatazi sijuwa wajumbe wa BMK walilitoa wapi
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,258 Nov 23, 2014 Thread starter #4 na maana yake kwa kiingereza ni Patent Right kumaanisha kibali maalum kinachotoloewa na serikali kwa ubunifu fulani kutumika
na maana yake kwa kiingereza ni Patent Right kumaanisha kibali maalum kinachotoloewa na serikali kwa ubunifu fulani kutumika
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,258 Nov 23, 2014 Thread starter #5 Neno lingine gumu ni kutweza nalo nimeona ni kudhalilisha