Maneno mapya yakiswahili nisiyovutiwa nayo...

haha! mi naona liko poa tu..😅
Halijakaa sawa mkuu. Hao wasimamizi wa lugha yetu ya Kiswahili wamezubaa au ? mbona tumefika mahali hata lile dude AI (Robot) nalo limeingilia na kutoa tafsiri eti ni Bawasiri.
 
Halijakaa sawa mkuu. Hao wasimamizi wa lugha yetu ya Kiswahili wamezubaa au ? mbona tumefika mahali hata lile dude AI (Robot) nalo limeingilia na kutoa tafsiri eti ni Bawasiri.
huyo robot alishwe sana vyakula vyenye kuleta kumbukumbu..🤣
hivi kumbe ukichokonoa mambo kuna mengi yanaendelea sema watu wameamua kukaa kimya tu!!
 
Drone = Droni
Artificial Intelligence = Akili bandia
 
kuna neno 'mgolo' linatumika kama puru pia

labda mgolo ndo sanifu ya rectum
Hapana. Mgolo ni ugonjwa almaarufu kama Bawasiri. Hiyo ni Condition ambapo sehemu ya utumbo mpana mwishoni hupata changamoto na huweza kushukaau hata kujitokeza nje eneo la mlango wa haja kubwa.
Rectum ni jina la kiungo mwilini kama unavyoweza kusema huu ni mkono, huu ni mdomo, ulimi, utumbo n.k. Kiungo kiitwacho rectum kipo mwishoni mwa utumbo mpana na hutumika kama "stoo au godown" kuhifadhia kinyesi/mavi (takataka) au chakula-taka ili kusubiria muda muafaka wa kwenda kukitoa nje ya mwili au Kunya.
 
huyo robot alishwe sana vyakula vyenye kuleta kumbukumbu..🤣
hivi kumbe ukichokonoa mambo kuna mengi yanaendelea sema watu wameamua kukaa kimya tu!!
Hahahaa. Watu wako bize kutafuta maokoto, hawana muda na hayo mavitu.
 
Wameanza kukielekeza kiswahili kifanane na kilatini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…