Maneno mapya yakiswahili nisiyovutiwa nayo...

Hata maneno :-
*KUMI.........kum..🙈
*MAVAZI.........mavu....i🙈

maneno haya ni rahisi sana KUTUKANA ..tena unaweza ukadharilika mbele ya kadamnasi.
 
Baraza la kiswahili linq ongozwa na wazee wapumbavu wasio na akili hata kiduchu ...shika haya maneno yangu mtakuja kunikumbuka
 
achana na kijambo na kinyampo sijui neno sahihi ila hili la mshindo hivi hawa wazee wa kiswahili wanatuonaje...?🤣🤣
Mshindo nyuma!! Kufikia kilele ukiwa unakula tigo!
 
Kama walivyobadili neno 'UBOHO' kuwa 'UROTO'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…