Maneno Mbofu Mbofu kutoka kwa viongozi wetu


Yeah, hiyo ilitokea Bungeni, siku Mama Migiro alipotembelea Bunge
 
"Wananchi wa Mbagala mzoee milipuko ya mabomu kama wenzenu wa Kitunda walivyozoea kelele za ndege....." Mh Lukuvi
 
Hii ilitokea wakati ndugu zake zito kabwe na william ngeleja wamekwama kwenye steshini ya dar wakisubiria usafiri wa treni kwa muda wa siku kadhaa. "...tell them to go to hell" Joni cygimwiyisi Samwel Malecela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…