CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Tangu 93 mka laaniwa si ndio?
Sisi tumefika level za juu kwenye mashindano ya juu.Kama laana ya feisal na. Mgunda basi wawabariki makolo nao wafike fainali
Malengo yenu ilikuwa mfike group stage za Club BingwaNyie mli laaniwa na nani kila mwaka mnaishia pale pale?
kwaiyo tuwaaminije sasa!!!em toeni kitu cha kutuaminisha basi,maneno matupu hayana maanaKwani medali inakua ya mchezaji au inabako kwenye klabu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Imagine mke wa huyu jamaa Ali-chill home gafla anaona mumewe amekula mitama na kumwagiwa maji washa na kuchaniwa nguo ikawa kama sketi na Pengine ndani alilala pia lakini wapi bado watu wakafungwa[emoji3]View attachment 2639189
[emoji75][emoji75][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukitaka medali nenda kwa Kasongo Athuman, Feruzi Telu, Michael Paulandazi ni bora kuliko mgunda,afu tuonesheni medali km kweli nyie mlicheza fainali...wambie hao wazee kwamba Yanga wanashindaga kokote so wapeleke mvua na kule algeria la sivyo kombe tunarudi nalo hapa na hawatufanyi lolote
We ile Wydad ungeifunga? Mna kelele za hovyo sana.Kwamba Wydad kakuoa wewe bhas Kila mtu amuogope.
Kwamba Simba hafungwi na timu ndogo,yeye timu kubwakubwa tu kama Namungo na Azam fc
Tufike fainali mara ya ngapi?Kama laana ya feisal na. Mgunda basi wawabariki makolo nao wafike fainali
Aibu ipi ya kucheza fainaliYANGA WALIKUWA HOVYO SANA
AIBU ILE YA JANA HAIJAWAHI KUTOKEA TANGU MASHINDANO KUANZISHWA.
WAANDAAJI WA MCHEZO WAMEITIA AIBU KUBWA TANZANIA
Medali hii hapa mwana utoandazi ni bora kuliko mgunda,afu tuonesheni medali km kweli nyie mlicheza fainali...wambie hao wazee kwamba Yanga wanashindaga kokote so wapeleke mvua na kule algeria la sivyo kombe tunarudi nalo hapa na hawatufanyi lolote
Leo hata sports extra na ile ya wasafi zimekuwa ngumu kuskilizika,sports HQ ya efm ndo kabisaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wamepigwa mji upo kimyaaaa,,fa masiala nini[emoji28][emoji23]
Wydad kafungwa na rivers. Yanga kamfunga Rivers... Hamjafanya kitu Cha Ajabu. Wydad Kwan nani boi?.We ile Wydad ungeifunga? Mna kelele za hovyo sana.
Tufike fainali mara ya ngapi?
Umeisahau na IHEFUKwamba Wydad kakuoa wewe bhas Kila mtu amuogope.
Kwamba Simba hafungwi na timu ndogo,yeye timu kubwakubwa tu kama Namungo na Azam fc
Hivi hawa makolo fainali yao wanacheza liniKama laana ya feisal na. Mgunda basi wawabariki makolo nao wafike fainali
Yanga hatuogopi kufungwa. Ni sehem ya mchezo, na sisi sio tim kubwa mana hatujacheza na wakubwa wa AfrikaUmeisahau na IHEFU
Al hilal ni mkubwaYanga hatuogopi kufungwa. Ni sehem ya mchezo, na sisi sio tim kubwa mana hatujacheza na wakubwa wa Afrika