Binafsi nilivyomwelewa Afande Sele ni kwamba Muda si Mrefu hata wale ambao tunazani ni Watu Safi kana kwamba wanapata pesa zao halali kwa kazi zao, Basi nao wanaweza kuingia ktk upande wa pili, ambao ni wachafu akimaanisha wanahusika na biashara.
Lakini Ijulikane Wazi kwamba kwa kiasi kikubwa ukitaja jina lolote Mind Zetu huanza na lile linalofahamika kwanza,
Kwa mfano aliposema Vanessa Mind zetu zinamwangalia zaidi Vanessa Mdee lakini ukweli ni kwamba mpaka atajwe complete name,
Vivyo hivyo afande aliposema WASAFI wengi kwenye Mind ni WCB but anaweza kuwaruka vilevile,
Ukweli ni Kwamba Wanamziki wengi na watu Mashuhuri duniani hujikuta ktk business hii hasa baada ya Maisha kuanza kuwapiga, Mfano halisi ni whitney houston na mtoto wake (R.I.P)
But hatuna haja ya kunyosheana vidole, Serikali inajua who is who ktk hii business maana ni sakata ambalo lipo na ni la Muda Mrefu,
Halafu kama Mtu anatumia hiyo kitu Mwisho wake huwa ni aibu.
So ni vyema sio tu tusijaribu bali hata hata kuwaza kujaribu maana mwisho wake si salama