Maneno ya Dogo Janja kuhusu picha za uchi za Irene Uwoya

Mbona sijaona uchi sasa...we mtoa mada unaujua uchi????? hilo ni tako tu ..
 
Wanawake namba moja si wa kuwaoa bali ni kwa matumizi ya binaadam tu.
 
Endeleeni kumshangaa dogo janja lakini kiukweli hata ningekua mm ningejidumbukiza tu hapo bwawani, kama kufa wote tutakufa tu
 
Upumbavu sana huu, huo UCHI upo wapi? Au hadi uwe unatumia laini ya Zantel ndiyo wenye access ya kuona huo Uchi?

Mleta thread sijui kwanini hajapigwa ban hadi mda huu...
 
Mbona mimi sioni hizo picha za uchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…