Maneno ya Kiswahili yaliyotoholewa kutoka lugha mbalimbali

Kiingereza, Jersey_Jezi( kiswahili)
Msela (Kizulu) mwizi
Fana (Kizulu) fanana
Mubadala (kiarabu) mbadala
Ila kwenye mpira kila kitu ni kiingereza kuanzia goalkeeper hadi linesman.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Hii Lugha yetu ni mixer kama kande.
 
Kiingereza, Agenda_Ajenda(kiswahili)
 
Kiingereza, Switch_Swichi(kiswahili)
 
Kihispania,papaya_papai(kiswahili)
 
Kiajemi, Bandar_Bandari(kiswahili)
 
Kinyamwezi,Ikulu_ikulu(kiswahili)
 
Kijerumani,Schule_shule,skuli(kiswahili)

Kiingereza, School ni kama vile 'skuli' inatumuka zaidi Zanzibar.
 
Asilimia kubwa ya maneno hapa yana asili ya kiarabu kuliko kihindi
 
Kizaramo, Uloto_uloto(kiswahili)

tafsiri kwa Kiingereza ni 'Bone - marrow'
 
Kiingereza, Campaign_kampeni(kiswahili
 
Kiingereza Quarantine_karantini(kiswahili
 
Kiarabu,swalat_kiswahili,Swala.
Kiarabu,Alkhamisu_Kiswahili,Alhamisi.
Kiarabu,Aljumaa_Kiswahili,Ijumaa.
Kiarabu,Subuhi_Kiswahili,Asubuhi.
Kiarabu,Safarat_Kiswahili, Safari
 
Vichokochoko.
Vichokochoko
Vi~inaonyesha uwingi
Choko~ni tusi
Chokochoko, hapa imerudiwa mara mbili imeleta maana tofauti hili ni neno la kiswahili halijatoholewa.
Njia hii ya kurudia rudia ni njia mojawapo ya uundaji wa maneno
mf.mbali-mbali,taka-taka.
 
"mwandende, post: 39994048, member: 416548"]
KISWAHILI.
Hela -- German HELLA.☑️
Lakini -- kihindi LAKIN❎
bunduki-- kihindi BANDUKI.
Basi--kihindi BASI.☑️
Mushkeli-- kihindi MUSHKEL❎
Thamani-- kihindi THAMAN
Mahaba-- kihindi MOHABAT
Dunia -- kihindi DUNIA.☑️
bahari-- kihindi BAHARI.
kubali-- kihindi KABUL❎
rejea-- kihindi AGEA.
Kismati-- kihindi KISMAT.
Kanuni--hindi KANOON.☑️
wakati-- MULAKAT.
Tayari-- Hindi TAYARI.
bibi-- Hindi MKE.
Baadae-- kihindi BAADME.
Shukran-- Hindi SHUKRIE.☑️
Gari-- Hindi GARI.
Pagawa--hindi PAGAL.
Pesa-- Hindi PESA.☑️Peisa
Sura--suraj.
...
Kiarabu, walakin na sio kihindi.
Kiarabu Mushkeli sio kihindi.

Kiarabu Kabul
 
Hapa ndo mnapo niudhi sana tena kichefu chefu!! kwa nini sisi tuige na si wao walituiga sisi?? wkt walitufuata huku Africa?!! kifupi tu waswahili tulitawala Misri ya kale yoote! tena miaka kibao tu!! Uajemi tulitawala sie! wkt huo ulaya haijulikani wazungu wanaishi mapangoni!!

Alexander the great aliye waheshimisha wazungu alipigana vita kuelekea Africa, yaani kusini mwa Ulaya akiilenga Misri na Middle east ya leo!!..penye Maendeleo Duniani wkt huo! km wao walikuwa vizuri kwa nini walikuja huku kwetu?

kwa sababu hizo wao ndo walituiga sisi Wabantu hatudanganyiki kamwe!!! ...na Kiswahili kiitwe Sayudire!! kifupi sisi wabantu ni WASAYUDIRE...swahili-= Yahudi revolutionists!-----abayudaya wao ni ndg zetu wao walikomaa mpaka leo!
 
In Manara language "Makolo" kiswahili sanifu ni mashabiki kindaki ndaki wa Simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…