Maneno ya kocha Nabi kuelekea mechi ya fainali

Maneno ya kocha Nabi kuelekea mechi ya fainali

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
"Tumeumia kumkosa Aucho lakini hakuna namna, ni suala la kikanuni. Tumezungumza nae na atakuwa na timu kwenye mechi zote mbili kwa ajili ya kuwahamasisha kupata matokeo mazuri" Kocha Mkuu Nasreddine Nabi.

"Tuna bahati kuwa na Mayele kwenye kikosi chetu, ni mshambuliaji wa daraja la juu Afrika. Uzoefu wake pamoja na wachezaji wengine utakuwa msaada mkubwa kwetu kwenye hatua hii ya Fainali" Kocha Mkuu Nasreddine Nabi.

20230527_131012.jpg
 
Back
Top Bottom