Ulisha reply wakati nawaza hivyoHahahaaa. Ungenitag tu rafiki.
Ila wanatuonea sana hawa wakati kuna baadhi ya wanaume wanatumia hayo maneno pia ujue.
Usijali my dear. Itakuwa tuliwaza kitu kimoja.Ulisha reply wakati nawaza hivyo
Mkuu..huyo mwanaume wa kutiliwa shaka. Maana binafsi ni ke na hayo maneno yamenipita kushoto.Kuna midume inatumiaga hiyo mineno
Hahaa...mie mgeni unajua...hata mjini sijawahi kufika.Usijali my dear. Itakuwa tuliwaza kitu kimoja.
Enheee. Zamu yako sasa? [emoji85]
Hahaaaa. Nilijua tu huko hayafika[emoji12] .Hahaa...mie mgeni unajua...hata mjini sijawahi kufika.
Hayo maneno huku mkoani hayajafika.
Pombe bingwa kwa kulegeza viungo vya mwili, yaani kulewa kwake ni kulegea kwanzi macho hadi vidole.Kumbe wine ni pombe kali
ANa element za ucharuko huyo ..mdadisi vyema mkuuWangu anatumia maneno yote hayo saaa cjui ntamuweka wap
Hahahaaa kwendraaaaaaa
ndio sindio anayotumia mzee wa upakoKumbe wine ni pombe kali
Me too, niko poa kabisa hofu kwako.I missed you! Uko poa?
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Hahahaaa kwendraaaaaaa