Maneno ya Mkuu wa kaya ... sio mimi

Na kweli. Kwa mpango huu, mikanda itajibana yenyewe soon
 
Tumekusudia Watumishi wa Umma wote wawe hawana Vitambi wala Minyama uzembe kabla ya 2020

Mistari ya Wapiga kura 2020 uwe na Vimbaumbau watupu

JPM ni Tiba tosha ya Cholestral[emoji12][emoji12][emoji12]
 
*Nasikia* *Mkuu* *kasema* *kama* *unanguo* *zina* *kubana* *usitupe,* *weka,* *zitakutosha* *tuu*[emoji124]
Ebu ngoja nisubirie kidogo, pengine atatokea alie elewa ili afafanue
 
Waswahili ni wepesi wa kuendana na mazingira. Tumesha zoea, tuna kula bia, tunatafuna konyagi na kuhonga michepuko ni kama kawa japo kiwango kimepungua
Ngoja nisiongeze neno, wasije wakasema hii ni I'd yangu nyingine....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mie binafsi msimu huu namshukuru Mungu biashara yangu ya majeneza inaenda vizuri sana mpaka nafikiria kununua japo "kagari" hata kama
kale ka "Mr Bean.
 
Mie binafsi msimu huu namshukuru Mungu biashara yangu ya majeneza inaenda vizuri sana mpaka nafikiria kununua japo "kagari" hata kama
kale ka "Mr Bean.
Inaonyesha wewe unawaombea watu wengi wafe ili upate kuuza Majeneza yako ? Lohh ukisikia uchawi ndio huo.... Asalaa leee........πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…