Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,772
Kuwa mstaraabu. Kwani huwezi kupinga hoja bila kutumia lugha isiyo ya kiungwana? Tofauti yenu na MATAGA ipi hapo?Endelea kuonyesha ujuha wako hadharani huku ukihaha kutafuta teuzi. Maneno ya Msekwa kuhusu katiba na hao Wabunge wa Spika ZUZU Ndugai umeyasikia lakini bado unajitoa ufahamu. Chama dhoofu hakiwezi kuwa kinaongeza wanachama wapya kwa maelfu nchi nzima. Muziki wa Chadema unaujua na uliuona kwa macho yako. Chadema iko mioyoni mwa Watanzania hivyo utasubiri sana kudhoofika kwa Chadema.
Kuwa mstaraabu. Kwani huwezi kupinga hoja bila kutumia lugha isiyo ya kiungwana? Tofauti yenu na MATAGA ipi hapo?
Mbowe ni gaidi au sio gaidi.?Kumbe Chadema ni very strong political party na kinatisha hadi kitengo wamtumie mtu kukidhoofisha!.
Kwa maoni yangu Chadema kiko dholfu bin taaban, kiukweli kiko hoi hadi kushindwa kuitisha kikao cha Baraza Kuu kuumaliza ule mzizi wa futna wa Covid 19!.
PJe, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali la tathmini kuhusu upinzani kuweza kuchukua nchi uchaguzi wa 2020. Kwa upande wa huku Tanzania Bara, ulizungumzia upinzani ni unazungumzia Chadema, hivyo hili bandiko kuihusu Chadema, as a representative wa upinzani kwa huku Tanzania Bara, vipi kuhusu Chadema...www.jamiiforums.com
Jasusi fake la uskochi.Kuwa mstaraabu. Kwani huwezi kupinga hoja bila kutumia lugha isiyo ya kiungwana? Tofauti yenu na MATAGA ipi hapo?
Unazeeka na njaa yako "P", Teuzi zimefika ukomo hujapata chochote.Kumbe Chadema ni very strong political party na kinatisha hadi kitengo wamtumie mtu kukidhoofisha!.
Kwa maoni yangu Chadema kiko dholfu bin taaban, kiukweli kiko hoi hadi kushindwa kuitisha kikao cha Baraza Kuu kuumaliza ule mzizi wa futna wa Covid 19!.
PJe, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali la tathmini kuhusu upinzani kuweza kuchukua nchi uchaguzi wa 2020. Kwa upande wa huku Tanzania Bara, ulizungumzia upinzani ni unazungumzia Chadema, hivyo hili bandiko kuihusu Chadema, as a representative wa upinzani kwa huku Tanzania Bara, vipi kuhusu Chadema...www.jamiiforums.com
Siku zote hawa jamaa zangu ni wazito sana kuelewa ila hata wawe wazito vipi, wasipoelewa kwa ushauri, wataeleweshwa kwa matokeo, mfano mzuri ni hali ya sasa ya Chadema Bungeni, watu wa ushauri wa bure, tuliwashauri kitambo.Pascal Mayalla haya maneno yako kuna watu hawatayaelewa, lakini nadhani watakuja kukuelewa huku muda umeenda.
Mkuu hivi kweli ulitegemea pasikali, aje na mambo tofauti na hayo aliyo yaandika?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].hilo litatokea siku akipoteza tumaini la kulamba teuziEndelea kuonyesha ujuha wako hadharani huku ukihaha kutafuta teuzi. Maneno ya Msekwa kuhusu katiba na hao Wabunge wa Spika ZUZU Ndugai umeyasikia lakini bado unajitoa ufahamu. Chama dhoofu hakiwezi kuwa kinaongeza wanachama wapya kwa maelfu nchi nzima. Muziki wa Chadema unaujua na uliuona kwa macho yako. Chadema iko mioyoni mwa Watanzania hivyo utasubiri sana kudhoofika kwa Chadema.
"Chadema are leaning the hard way" ...Siku zote hawa jamaa zangu ni wazito sana kuelewa ila hata wawe wazito vipi, wasipoelewa kwa ushauri, wataeleweshwa kwa matokeo, mfano mzuri ni hali ya sasa ya Chadema Bungeni, watu wa ushauri wa bure, tuliwashauri kitambo.
Walinibishia, kilichotokea uchaguzi wa 2020, sote tunakijua, na sasa Chadema are leaning the hard way.CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za msingi. Adui wenu mkuu sio CCM! Lazima mbadilike
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Declaration of Interest. Japo mimi ni mwanachama wa chama cha siasa, lakini bado naweza kutoa ushauri wa maana hata kwa chama ambaho sio chama changu kama ninavyofanya hapa, hivyo ni kawaida humu jf, mtu ukifanya ukosoaji...www.jamiiforums.com
P